Umekonda na bado umekaza
Unaringa na bado huna ladha
Umechapa na bado umebonda
Na bado unacheka na hata huna haga
Chafua,chafua meza na thianga
Chambua asikuwe kalewa
Nayo nayo hata kama yeye kilema
Chapa hadi alie akihema,maluku me hupiga luku
Madudu me huwapa dudu,dudu analilia mjulus
He kingpin siwezi lalisha
Oh oh oh onyiso oh
Walenje makondiko
Oh oh wanjiko oh
Ako keg na maombitho
Oh oh ombitho
Ako keg na maombitho
Oh oh ombitho
Keg na maombitho
Ni mrasta namtaka
Ukinitoka nakufuata na tracker
Alehandro mad made tractor
Bull dozer wa paka
Halal,halal niliona miaka alifa ndani ya church
Alikuwa amevaa blazer ya pach
Tabia ya dem ametoka kach
Sukuma wiki na sukumawiki
Ukichagua keki kuwa mpiki
Nikiliki itakuwa iki iki
Nitakumwagia kwero ya wiki
Oh oh oh onyiso oh
Walenje makondiko
Oh oh wanjiko oh
Ako keg na maombitho
Oh oh ombitho
Ako keg na maombitho
Oh oh ombitho
Keg na maombitho
Wangida mabangida,zangida wakandiga
Mama ngina,aai moratina,naitina karatina
The fact siwezi call back na unani divert
The fact chat ikilast kesho utanicall first
The fact faxe ni faxe we husema facts
The fact we unajua klakens me najua klaks
The fact we najua taxin me najua tax
The fact we unakula nyasi me nakula nyap
Oh oh oh onyiso oh
Walenje makondiko
Oh oh Wanjiko oh
Ako keg na maombitho
Oh oh ombitho
Ako keg na maombitho
Oh oh ombitho
Keg na maombitho