huatong
huatong
الكلمات
التسجيلات
VIVITHEALBUM

presents

Vivian X Kidum Lyrics

Intro

VIVIAN NA KIDUM KIBIDO

Niliposema yes I do do do I meanti yes I do

Na uliposema yes you do I thought you meanti yes you do

Verse 1 Vivian

Karibu nyumbani karibu kiti mpenzi wangu tulia

nimekua nikikusubiri nina jambo la kukwambia

tumeishi miaka mingi tumepatana na mengi

tulipopata maadui tuliwashinda pamoja

lakini jambo moja linanikera bebi aaah

Nimekua nikikuona na kasichana fulani aaah

I know how you met and where you meet it's funny how you think I don't know

Najua anakoishi mabeshte wake it's funny how you think I don't know

Chorus

Niliposema yes I dodo do I meant it yes I do

Na uliposema yes you do I thought you meant yes you do

Sasa cheki unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

mi sipendi unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

Sasa cheki unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

mi sipendi unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

Verse 2 Kidum

Mimi sijui niseme nini kwa hizi shutuma

kusalimiwa tu na kina dada ni jambo la kawaida

ni mwanadada yupi anayefanya bebi wangu kunishuku hivi

nani uyo tena anajaribu kutuletea ugomvi

wachana na izi kesi mapenzi yetu si mambo fakey

mimi hujaribu sana kuwa mkweli na muwazi kwako

mambo yote watu wanasema kunihusu ni uvumbi na uchochezi

hawajui tulitoka mbali mimi na wewe

wachaga kulia wala kusononeka

wale siwatazami natazama tu wewe bebi

Chorus

Niliposema yes I do do do I meant it yes I do

Na uliposema yes you do I thought you menti yes you do

Sasa cheki unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

mi sipendi unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

Verse 2 Vivian

Is it me or is it her sema ni nani unataka

is it me or is it her sema ni nani unataka

Kama ni lazima akue ni lazima ajue

kama ni lazima akue ni lazima ajue

Tuko na watoto nawe nawe

pia mali tumepata nawenawe

asinikosanishe nawenawe

ju mi siachani nawe

Ju kama mke wako nadeserve some respect and attention

kama mke wako nadeserve some respect and affection

Chorus

Niliposema yes I do do do I meant it yes I do

Na uliposema yes you do I thought you meant you do

Niliposema yes I do I meant it yes I do

Na uliposema yes you do I thought you meant you do

Sasa cheki unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

mi sipendi unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

Sasa cheki unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

mi sipendi unavyo do do do do do

hizo ni gani una do do do do do

المزيد من Vivian Kenya/Kidum Kibido

عرض الجميعlogo