menu-iconlogo
huatong
huatong
লিরিক্স
রেকর্ডিং
Leo nika nadai kuchoma (Uko)

Nikona bottie, leta tumbler (Uko)

Kuna mali ka wewe ni stoner (Uko)

Panda nduthi ufike teke (Uko)

Uko (Nipin)

Uko (Natoka)

Kwani Uko (Kwa jam)

Uko (Nakam)

Uko (Nipin)

Uko (Natoka)

Manze Uko (kwa jam)

Uko (Nakam)

Ofisi nilihepa hapo kedu 4

Nilikua nimezuba ningebaki what for

Kale kafeeling ka kuzitoka nikue sore

Niko bar nakunywa shots yelling (One more)

Hiyo text ya uko Hesabu ni rocket science

Ukona nani, wapi, mko wangapi, kwanza

Ni base inakaa aje, na nahitaji doh ngapi

Nakam na kabambe ama lugha ya mababi

Kuna manguna kwanza, ka hawako mi sikam

Maboy wakona kakitu na mboko haram

Kuna dishi ama nafika ka nimejipin

Bora nilewe fiti niweze kusinn

Kabaya kwenye scene

Juu chini niko clean

Glass tonic na gin

Pigisha liver gym

Handas na simsim

Ndio order of the day

Na kama ni kapeng mshow akam my way

Leo nika nadai kuchoma (Uko)

Nikona bottie leta tumbler (Uko)

Kuna mali ka wewe ni stoner (Uko)

Panda nduthi ufike teke (Uko)

Uko (Nipin)

Uko (Natoka)

Uko (Kwa jam)

Uko (Nakam)

Uber tuko mtu saba bumper hadi zipang

Kadere akizua ju vile boot inahang

Na Tukiziwasha pia yeh tunaburn

Afikishe raiya ka amenyanya

(Kang kang)

Alafu kwenye floor

Kuzitoka mos mos

Ofcos ni kamini croptop na lipgloss

Unani cheki sir

Itika itika

Curfew ikikushika rombosea afisaah

Nilitoka njei kuenda shop

Niko vasha kidogo nikidedi

Hiyo text ya uko Weh jua tu ni deadly

Si ati nina teta, ntarudia kila wikendi

Uzuri patipati ni za fendi

Kabaya kwenye scene

Juu chini nikona clean

Glass tonic na gin

Pigisha liver gym

Handas na simsim

Ndio order of the day

Na kama ni kapeng mshow akam my way

Leo nika nadai kuchoma (Uko)

Nikona bottie, leta tumbler (Uko)

Kuna mali ka wewe ni stoner (Uko)

Panda nduthi ufike teke (Uko)

Uko (Nipin)

Uko (Natoka)

Uko (Kwa jam)

Uko (Nakam)

Uko (Nipin)

Uko (Natoka)

Uko (Kwa jam)

Uko (Nakam)

Maandy থেকে আরও

সব দেখুনlogo