menu-iconlogo
huatong
huatong
লিরিক্স
রেকর্ডিং
Mmh hahaha

Ye ye

Mmmh aaah aahhh

Sounds by abbahaaa

Kwetu situnasherehe

Mapenzi, sio makasiriko ah haa

Kwetu ni fuhara tele

Maana mapenzi, sio makasiriko mmh mmh

Hata kama tukishindia tembele

Ooh! My love

Baba mwenye nyumba kodi apige kelele

Ooh! My love

Hata kama tunapanda dala dala

Mi nawe my love

Et chetu chumba kina mavyombo tele

Inahusu?

Wala sidhani kama hunipendi

Ila nawaza usipokuwepo ntaishije eeh

Mwenzako najua kamaa unanipenda

Umeniweka moyoni

Ila nawaza usipokuwepo ntaishije

Ndo ninaogopa (aah)

Aah aah aaaah naogopa

Aah aah aaaah naogopa

Aah aah aaaah naogopa

Aah aah aaaah naogopa (yao yao)

Hivi hushangai napendwa

Ila sura bado inakosa nuru

Yani najiona sipo huru

Napagawaa

Siku sinavyozidi kwenda

Najiona kabisa nitakufuru

Maana naishi ka-kunguru

Kutwa kuzificha mbawaa

Ridhiki yangu a papatu papatu

Mara nilipe vikoba upatu

Vipi ukija kutamani vya watu

Mimi si utaniacha

Ukiachilia mbali mashindao

Wanaonizidi pesa muonekano

Si lazima nikutajie mifano

Niahidi kama utayaweza mapambano

Icho ndo kinanipa mawaza

Nikikupost biashara matangazo

Sintoweza kukuechunga

Mbele za wenye mipunga

Mmh mmmh mmmh baby (Abee)

What can I do?

Baby, I no go let you go

And I want you more

Oh wooh wooh wooh baby (Abee)

What can I do?

Baby, I no go let you go

And I want you more

Mwenzako ooh

Aah aah aaaah naogopa

Kweli mwenzako naogopa

Aah aah aaaah naogopa

Baisi kiota changu kiona choyo

Aah aah aaaah naogopa

Maana wasije nichoma mkuki wa moyo

Aah aah aaaah naogopa

Na na na na hi aah

Konde boy call me number one Bahkresa

Mimwenzako naogopa aah

Aah aah mmh mmh aaah (Tshi)

Marioo/Harmonize থেকে আরও

সব দেখুনlogo