menu-iconlogo
logo

nani

logo
লিরিক্স
Lyrics

Nahodha - Jay Melody

...

aaaah

aaaah

taharuki ndani kumefifia mizozo balaa aibu kulia

sio kawaida tumesikia nahodha wa meli ety kukaa nyuma

oooh husda imemnyima,oooh barafu kwenye mtima

oooh hasikilizwi kauli , oooh na ye ni mtu mzima

kwani yuwapi nahodha,yuwapi nahodha,yuwapi nahodha chombo kinazama,yuwapi nahodha, yuwapi nahodha, yuwapi nahodha chakwenda mrama

yuwapi nahodha *3 chombo kinazama

yuwapi nahodha *3 chakwenda mrama

...

na Siri za ndani kuhadithia, shoga katamani jamvi Ka kalia

udugu wa amani tulifikia hisia chomboni mwishowe twazamia

oooh kabla ya kupenda pima,oooh wapenda Kwa akili nzima,oooh usiwe mchimba kisima oooh ukatumbukia mazima

yuwapi nahodha *3 chombo kinazama

yuwapi nahodha *3 chakwenda mrama

More Lyrics from Jay Melody Songs

Similar Songs

Explore

For Users

For Artists and Vendors

Company

2023 Boomplay All rights reserved.

00:00 / 03:04

Zuchu/D Voice-এর nani - লিরিক্স এবং কভার