menu-iconlogo
logo

Nidhibiti

logo
avatar
Juxlogo
shirley.sellerslogo
Sing in App
Lyrics
La-la-la-la-laaa

Lala, La-la-la-la (Mocco) la laaa

Una hali gani unayefanya moyo wangu unadadarika (ahh)

Niko twabani umeniacha dakika mbili tu nishaboreka

Umeniweka rehani

Changu kiwiliwili moyo umeuteka

Umeniathiri honey nshaaribika mbaya kwa yako makopa

Kama mapenzi kitabu

Ungekuwa kurasa ya katikati

Ukichanwa wewe stori haiendelei

Aaaah nakupenda mpaka adhabu baby nahisi kuna hatihati

Ukiniacha wewe walahi mimi sitoboi

Honey honey (Honey) Wangu wa ubani bani

Mimi ndege wako sa manati ya nini

Nakupa ruhusa weeee!

Nidhibiti

Nidhibiti

Nidhibiti

Nakupa ruksa weee!

Nidhibiti (weee)

Nidhibiti

Nidhibiti (now)

Ewee baby (Eweee baby)

Mke wangu (mume wangu

Mimi na wee hadi milele

Ooooh mbivu ziwe mbichi ni vya kwetu sisi

Sijali nisharidhia yayaah

Wabaya wanafiki watafute viti wakae kwa kutulia hayaaa

Upendo kwetu faradhi umepita tsunaa

Rabiii atuhifadhi mpaka kufika chanaa

Ooh na mimi kwako ni radhi kufa kuzikanaaa

Waambie wavunje nazi si tumeshindakana

Honey honey (Honey)

Wangu wa ubani bani

Mimi ndege wako sa manati ya nini

Nakupa ruhusa weeee!

Nidhibiti

Nidhibiti

Nidhibiti

Nakupa ruksa weee!

Nidhibiti

Nidhibiti

Nidhibiti (now now)

Nidhibiti by Jux - Lyrics & Covers