menu-iconlogo
logo

Inatosha

logo
Lyrics
Mmmm

Yeeeee

Hata kama penzi ni maji masafi niacheni nanawaa

Mana yamenifika yamenifika hapaa

Ingawa ntakonda

Nimeridhia sawaa

Mana kila dakika

Me wakilionii

Kukikucha macho juu

Nakesha kulilia penzi ee

Kama kinda nlokosa mama ee mama e

Afu shida so heshima tuu

Hata wanaomwingia wengi (eee)

Mwenzenu kupenda nishakata tama ee tama eee

We acha itabaki kuwa historia japo sio kiroho safi

Na ya nini kun'gan'gania biashara

Tena yenye hasara

Na wala sisemi ntakuchukua japo moyoo hautaki

Na ya nini kun'gan'gana n'gan'gana

Mmm

Inatoshaa

Inatoshaa

Inatosha

Inatosha

Inatosha

Ni kwamba moyo mashine na iman ntapoa

Ihali sio ya kudumu naimani ntapoaa

Ni kwamba tumeumbwa kusahau naiman ntasahau

Ihali sio ya kudumu nitakusahau

Kama kukupenda si ilishindikana sawa sina chaguo

Mana japo itanisumbua sumbua itaniumbua umbua

Muchanga

Kwenye kitumbua tumbua kwenye kitumbua tumbua

We acha itabaki kuwa historia

Japo sio kiroho safi

Na ya nini kun'gan'gania biashara

Tena yenye hasara

Na wala sisemi ntakuchukia japo moyo hautaki

Na yanini kun'gan'gana n'gan'gana

Inatosha

Acha nipambane na hali yanguu

Inatosha

Ooo

Mapenz ya kupanda kushuka basi

Mmmm utaniua

Inatosha

Mmm utaniua nwenzako mieee

Inatoshaa

And the Good work has been done people Remix killer

Inatosha by Marioo - Lyrics & Covers