menu-iconlogo
huatong
huatong
Letras
Grabaciones
Yeah, you gotta love it

Eyo whats happening not (Hao)

OG (Hao) Masauti Kenyan Boy (Hao)

Whats good? (Hao)

Wanaona mwangaza

Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene

Lakini tunapambana

Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)

Ila wanadidimiza (Hao)

Wanajifanya wanapenda (Hao)

Ila wanadidimiza (Hao)

Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Yeah)

Ku appologise ia watu haujakosea (Preach)

Ka we ni msofti utasema wanakuonea (Why?)

Ka we ni mjanja utabidi umezoea (Now)

Watakutusi ndio u-catch na wacheke

Wakishakutusi mara that, hao wasepe

Udaku inapigwa na kasheshe

Ukianguka kwa sakafu unapigangwa mateke

Kukua celebrity gharama (Gharama)

Ju wakishakujua ni lawama (Lawama)

Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama

Sai Twitter mmegeuziwa ye ni mtoto wa Diana

Hakuna huruma siri ni kulenga tu (Kulenga tu)

Coz if it ain't don't kill you then inakujenga tu

Na bado kuna fans wanakupenda tu

Azziad usijali, hivo ndo vile kuenda boo

Si nyi hu-troll Simple Boy ka kila siku

But Kipchoge akivaa the same mnamsifu

Inauma kupambana na hizi issues

But brathe usijali we zoea hizi vitu

Wanaona mwangaza

Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene

Lakini tunapambana

Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)

Ila wanadidimiza (Hao)

Wanajifanya wanapenda (Hao)

Ila wanadidimiza (Hao)

Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Why?)

Your downfall ndo mbogi huwanga inangojea

Leo watakuchocha vile uko juu unapepea

But kesho ka shetani watakukemea (Riswa)

Remember Esther Arunga na huzzy yake Hellon?

It's so sad wamefungwa, ju sai ni ma felon

Walitrend tukawacheka when they needed help (Why?)

Tukaangalia when they busy destroying themselves

Ni poa tuweke imani kwa Yesu

Woi Jimmy Gait si ye huona siku mrefu

Tumemtroll bila kujiuliza question

Like what if that nigga fell in depression?

Papa Denis alidedi tukamchangishia

Tuka-type Rest In Peace tukimpandisia

Ati tuko sad na tunajua vile alikapitia

We tu ni ku-troll ni ka haujui kitu inaeza kufanyikia

Mulamwa ameshachoka amedai zii

Ju ya matusi toka Twitter mpaka IG

Mi ni gangsta mkinitroll haiwasaidii (Kwenda!)

Buda OG huwa zogo shinda 5G (Staki!)

Mmefanya mpaka Pozee amewacha injili (Hahhaha)

Ameacha kuimba mangoma za Holy Spirit

Ju mnapenda ongeza chumvi pia na pilipili

10 over 10 hamtaki sai mnatusi Willis

As if mmekuwa forced kutazama

Nyi ni fans in denial so of-course mnajifanya

Kukuwa celebrity kuwa ready for drama

Omba God akubless na self-esteem ya pastor Ng'ang'a

Na confidence ya Orie Rogo Manduli

Na will-power ya John Pombe Magufuli

And though wengi watasema ni kiburi

But that's the only way utawezana na hawa mabully

Wanaona mwangaza

Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene

Lakini tunapambana

Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)

Ila wanadidimiza (Hao)

Wanajifanya wanapenda (Hao)

Ila wanadidimiza (Hao)

Watakushow ati hauwezi fika mbali (Hao)

But ni wivu tu jo wamejaa makali (Hao)

Comment section wamejazana upuzi (Hao)

Lakini DMs same haters bado groupies (Hao)

Ukikafunga hivi waskiangi fiti (Hao)

Wanatamani kuishi maisha we unaishi (Hao)

So hata waki-hate haina ngori uko mbele (Hao)

Get a life nigga punguza kelele (Hao)

Más De Khaligraph Jones

Ver todologo