menu-iconlogo
huatong
huatong
avatar

Sherehe Sheria

Mbuzi Gang/Jovialhuatong
bluffalo1huatong
Letras
Grabaciones
London, London

The baddest

(It's Your favourite boy)

Kashkeed on the Track

Mi mang'aa napenda life

Napenda dem anajidai ati amevai

Kama ni looku piga white ni kama amedye

Ako machingri mangwai na beer lite

Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)

Warukera inama chuchumia (Ala)

Hio ni mwiko si miwa umekalia

Ni sherehe na haitaki masheria, sheria

Nadai mucome, kuna sha Nadia Mukami

Sheria lazima mfuate ju ya serikali

Askari sura yake wavy ka ya Khali

Kali-Sa lazima ufuate kodi

Sarkodie bash hatuwezi get cosy

Corona, corona tulishikiwa kwa kona

Na mbona unaendesha ni kama uko na cholera

Afande sa

Sheria pia ni wera

Kukata maji mnajifanya Musa

Nanusa watoi mliomba nani ruhusa

Kipusa this time tulibeba Jovial

Mbuzi ndio rende hatutaacha za ovyo

Mi mang'aa napenda life

Napenda dem anajidai ati amevai

Kama ni looku piga white ni kama amedye

Ako machingri mangwai na beer lite

Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)

Warukera inama chuchumia (Ala)

Hio ni mwiko si miwa umekalia

Ni sherehe na haitaki masheria, sheria

Nakata maji nasambuka, nikibleki nazinduka

Shetani amepanda jini mkata kamba, serikali inapindua

Mi ndo kiboko yao, wakisleki tunapita nao

Tena haina kuchao, yaani uuh, baby we ndo mama yao

Afande pita ndani yaani we chuma ina lala ndani

Shamra shamra za kibabi, uuh we enjoy the party

Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche

Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche

Mi mang'aa napenda life

Napenda dem anajidai ati amevai

Kama ni looku piga white ni kama amedye

Ako machingri mangwai na beer lite

Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)

Warukera inama chuchumia (Ala)

Hio ni mwiko si miwa umekalia

Ni sherehe na haitaki masheria, sheria

Kata maji you can't bwogo me

Gidigidi maji maji can't koro me

Thobo thobo kumguza chobo

Ashaskiza utamu hadi kisogo

Kukata maji ni sheria

But mbona sa unamix Konyagi

Ndani ya chang'aa Fathermore

Unakataje maji na haujadishi

Fisi mimi bleki dem yako mi nadishi

Na kama ni vegeteriana bado atakula njiti

Nikiwa deep end deep end

Si na depend depend

Bars kibao sa itabidi umenikunywa

Na ka hujaput hii si utabidi umejichuna

Mi mang'aa napenda life

Napenda dem anajidai ati amevai

Kama ni looku piga white ni kama amedye

Ako machingri mangwai na beer lite

Uuuuuh kukata maji ni sheria (Aiyayaya)

Warukera inama chuchumia (Ala)

Hio ni mwiko si miwa umekalia

Ni sherehe na haitaki masheria, sheria

Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche

Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche

Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche

Tunapiga sherehe yaani mpaka kuche

(Black Market Records)

Más De Mbuzi Gang/Jovial

Ver todologo