menu-iconlogo
huatong
huatong
bahatiwyreking-kaka-kuchu-kuchu-feat-wyre-king-kaka-cover-image

Kuchu Kuchu (feat. Wyre & King Kaka)

Bahati/Wyre/King Kakahuatong
pkbrokawhuatong
Paroles
Enregistrements
Ni ndoto ngapi za today

Maono mengi on your way

Ni ndoto ngapi msela

Ni ndoto ngapi za today

Maono mengi on your way

Ni ndoto ngapi nauliza

Leo kama jana , moyoni umejaza lawama

Leo kama jana wanakucheka eti we fukara

Leo kama jana , moyoni umejaza lawama

Leo kama jana wanakucheka eti we fukara

Ebu sukuma ukikwama

Jitahidi kinyama

Juu utakuja shinda wee

Ebu sukuma ukikwama

Jitahidi kinyama

Juu utakuja shinda wee

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah kaza roho mama)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah jua utakuja shinda)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah kaza roho baba)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima(mungu anawaza mema)

Who di pan destruction pan di road

Nuff path hole such a bad road

Jah Jah help me focus on mi goal

Father make me grow mi heart, mind and soul

Ntajitahidi ju inastahili nitimize lengo langu kamili

Let me pray to mi father wit mi hotline

Dem a put mi pan di place, frontline

Ebu sukuma ukikwama

Jitahidi kinyama

Juu utakuja shinda wee

Ebu sukuma ukikwama

Jitahidi kinyama

Juu utakuja shinda wee

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah kaza roho mama)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah jua utakuja shinda)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah kaza roho baba)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima(mungu anawaza mema)

Kuchu kuchu , nilikua tupu tupu

Ngumu nilikosa hadi njumu

King kaka usema na Bahati, nimeangukia deal ngapi

Wanashangaa natoka Eastside, nawashow God alishadecide

Manchi ngapi nimetambaa ju nimejikaza kaa kamba

Nikianza nilikua mgreen ka ovacado, na mungu mambo bado

Wanirushe walafi hao, ka Juli who is laughing now

Ebu sukuma ukikwama

Jitahidi kinyama

Juu utakuja shinda wee

Ebu sukuma ukikwama

Jitahidi kinyama

Juu utakuja shinda wee

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah kaza roho mama)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah jua utakuja shinda)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima (ah kaza roho baba)

Kuchu-kuchu-kuchu chu mtima(mungu anawaza mema)

Yani leo eh, nakua tu ndio real yani

Ni simple eh

We panga , Mungu atadecide

Lakini si kupanga tu

Lazima uamke lazima uende ukafanye A,B,Chadi ifike kwa God manze

So this is from sisi to wewe

Its your time

Ni time yako manze, g

Get up Mungu anawaza mema manze

Davantage de Bahati/Wyre/King Kaka

Voir toutlogo