Kama Ni Mapenzi nilishatafuta sana,
Kama ni kutosa nilishatosa kwa bana,
Kama Ni mapenzi nilishatafuta sana,
Omugwane wanje, songa wachinyimba
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
Umekuwa baba kwangu
Roho mtakatifu,
Nautanashati ukanipa kimwana
Nayo mashairi ndani yangu ukajaza
Nautanashati ukanipa kimwana
Nayo mashairi ndani yangu ukajaza.
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
Umekuwa baba kwangu
Roho mtakatifu,
Yote pokea sifa moyoni umefanya,
Maulana si kawaida kenya wakanidata,
Yote pokea sifa moyoni umefanya,
Najua Africa Mtoto wa mama atasikika
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
Umekuwa baba kwangu
Roho mtakatifu,