menu-iconlogo
huatong
huatong
mbuzi-gang-shikwekwe-cover-image

Shikwekwe

Mbuzi Ganghuatong
pepsiman97526huatong
Paroles
Enregistrements
Joefes

Biasha kupenya ni sokomoko

Photo ni moto sijawahi choma mboto

Heri wa kwanza wa pili huwa ni hoho

Ni mkali lakini siwezi chase her

Ni mkali si buda huwezi cheza

Kama wewe, I got chicks kila pande kama mwewe

Wewe unajifanya hutujui Mavo juu ya track

Unajifanya me si chui

In the morning nakaa ka ako na kishada

Nikuite hunny unakaa ka vile unakaa

Ndani sikusize unakaa ye ni mweupe pe

Unadai ananyuma Shikwekwe kwe

Unadai ni kasupa kakembwe mbwee

We ni diva malkia nikembe

Ni sese ni keke nikule nitoke

Nichoche i cheche che

Drip Eye

Chini kwa chini toka chini kufa juu

Hatutaki simba hapa juu ndovu ni kuu

Mbati ni chu ungati peleka loo

Bei nafuu na sasa mbona unishuku

Kuku, ako in danger geuzwa supu

Picha sipati hajawai tuma tupu

Si wanyama huku tunaua nyuku

Wewe, unajifanya hutujui

Chorus

In the morning nakaa ka ako na kishada

Nikuite hunny unakaa ka vile unakaa

Ndani sikusize unakaa ye ni mweupe pe

Unadai ananyuma Shikwekwe kwe

Unadai ni kasupa kakembwe mbwee

We ni diva malkia nikembe

Ni sese ni keke nikule nitoke

Nichoche i cheche che

Iphoolish

Chli yake ni mnyonge

Ndo maana anataka nimnyonge

Ni mnyonge ye hujificha anyonge

Ni usonge ugali ulete proteins

Ni ugonge ka CD zisonge

Ni utoke atuite form utokee

Ni ugonge boyz before utekwe

Ni ucheke na me ama uchekwe

Hujanyoa lakini leo nakufyeka

Chorus

In the morning nakaa ka ako na kishada

Nikuite hunny unakaa ka vile unakaa

Ndani sikusize unakaa ye ni mweupe pe

Unadai ananyuma Shikwekwe kwe

Unadai ni kasupa kakembwe mbwee

We ni diva malkia nikembe

Ni sese ni keke nikule nitoke

Nichoche i cheche che

Davantage de Mbuzi Gang

Voir toutlogo