menu-iconlogo
logo

NITAREJEA

logo
Lirik
Aaaaa

Vipi mizigo umeshaweka tayari tayari

Ummm aaa

Sijechelewa kaja achwa na gari na gari

Umm aaa

Basi jikaze usilie mpenzi mpenzi

Aaaa

Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi enzi

Aaaa

Zile taabu na njaa

Msimu mzima mavuno hakuna

Huwa nakosa raha

Pale mkikosa cha kutafuna

Roho yangu inauma

Sema ntafanya nini

Na pesa sina

Nakuonea na huruma

Bora niende mjini

Kusaka tumaa

Kama watoto wakinililia

Waambie kesho nitarejea nitarejea

Wadanganye na vibagia

Waambie pipi ntawaletea ntawaletea

Kama watoto wakinililia

Waambie kesho nitarejea nitarejea

Nawe usichoke kuvumilia

Na kila siku kuniombea

Wanajua kwamba nafsi na roho

Vitakuwa na wasiwasi

Ukumbuke na moyo utajawa na simanzi

Ntakapokuwa nakwenda shambani

Afu niko peke yangu honey

Ntapokuja kuwa na majirani ntaumia aaah

Pale napotoka kisimani aaa

Ama nipo na kuni kichwani aaa

Sina wakunitua nyumbani ntaliaa

Maneno yako yananfanya

Nakosa raha

Na mawazo

Hata mwenzako sijawahi kufika da

Huu ndo mwanzo

Vile nakwenda na sijui pa

Kukaaa

Wala mavazi ooh

We niombee niepushwe na

Balaa

Na maradhi ooh

Eeee Kama watoto wakinililia

Waambie kesho nitarejea nitarejea

Wadanganye na vibagia

Waambie pipi ntawaletea

Kama watoto wakinililia

Waambie kesho nitarejea

Nawe usichoke kuvumilia

Na kila siku kuniombea

Unapokwenda kama ukifika salama

Utukumbuke na sisi

Usisahau kama mkeo na wana

Umetuacha na dhiki

Vile usijali ila naomba chunga sana

Ogopa na marafiki

Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama

Waambie sidanganyiki

Unapokwenda kama ukifika salama

Utukumbuke na sisi

Kumbuka mkeo nyumbani na wana

Umetuacha na dhiki ooh

Vile usijali ila naomba chunga sana

Ogopa na marafiki

Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama

Waambie sidanganyiki

Ohh

Ntarejea mama

Niombee nirude salama

Ohhh watoto wadanganye

Ihh

Ohhh ama

Usilie usilie

Mpenzi

Umm kama

Kama watoto wakinililia kama

Waambie kesho

Nitarejeanitarejeanitarejea mama

Wadanganye na vibagia

Waambie pipi ntawaletea mama

Kama watoto wakinililia kama

Waambie kesho

Nitarejeanitarejea mama

Nawe usichoke kuvumilia usicho

Na kila siku kuniombea

Jea ma

NITAREJEA oleh Diamond/Ha! Why? - Lirik & Cover