menu-iconlogo
huatong
huatong
bahati-bambika-cover-image

Bambika

Bahatihuatong
krazyladieshuatong
Testi
Registrazioni
Cheki, ati, eh

Rada safi, yaani basi

Bambi-bambika

Na juu sijali, ni wazi

Mi nishabambi-bambika

Ati, ati, ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika

Ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika, eh

Tuko na Mola, tunajiachilia leo

Bahati, Ethic, iwafikie leo

Bambi-bambika, ka

Bambi-bambika

Ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika, eh

Karibu kwa hii party leo

Tunauza imani bila money leo

Ametutoa mbali huyo

Uliza hata Swat, hatuwachi leo

Niko chupri, niko chupri kwa pori

Mboka lazima itachapwa, si-worry

Kwa dimanga siwezi rudi, ni ngori

Cheda sakwa, uza meda, sichoki

Na kachoki ni kakonki, katoti

Kaa ni babi amedai, atacheza

Kaa ni gwangi, ni lazima achezewe

Pewa, pewa, sasuliwa, perembwa

Bambi-bambika, ka

Bambi-bambika

Ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika, eh

Tuko na Mola, tunajiachilia leo

Bahati, Ethic, iwafikie leo

Ati, ati, ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika

Nimcheki na Konyagi kukanyagia

Kamcheki na Konyagi kukanyonga

Buda, kukacheki muda, kaka fisia

Eh, juzi, Suzie akamkazia

Eh, kaa ni pedi, niekee tatu, nitakupata

Kaa ni lady, heri pesa kwa kibanda

Nieke dredi, nizipande fertilizer

Tukimedi kwa kinganya tukikata

Kaa ni mboka, bana, sitakaokota

No kimbelembele, usi-turn kukaokota

Kaa ni family, nadai son, daughter

Round-ia stick tatu tatu kaa mbota

Penda starehe, saa utare

Huwezi bargain starehe

Pumwani data hapo kando ya Starehe, mi born Starehe

Sin huwa si liquor, kam kusele

Rada safi, yaani basi

Bambi-bambika

Na juu sijali, ni wazi

Mi nishabambi-bambika

Ati, ati, ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika

Ati bambi-bambika, ka

Bambi-bambika, eh

Tuko na Mola, tunajiachilia leo

Bahati, Ethic, iwafikie leo

Everybody, leo, Mungu wa redio ni leo

Leo, collabo of the year ni leo

Leo, Mungu wa redio ni leo

Leo, collabo of the year ni leo

Ka, ati, ati, ati bambi-bambika

Altro da Bahati

Guarda Tuttologo