menu-iconlogo
huatong
huatong
Testi
Registrazioni
Seti Juu mi stakataa, ukinieka kwa roho chunga

Juu unaeza pata heart attack

Mteja Wa nambari hapatikani pole samahan

Crazy coz we badder dan

You better hide your girlfriends Eiy Nayo nayo

Alidai kuguza nini akapelekwa Choche

Ukikuja na chic atarudishwa akiwa nyonde

Tabia ni za kigheto hmm na luku za kibombe

Ukianza kunikunywa baby navunja kikombe

Ukikuja ukiwa freshi utatoka ukinuka shonde

Manzi yako ni mcheap skuizi ye hutekwa na pombe

Alidai kuguza nini akapelekwa choche

Ka hudai kung'oka meno medi tu mi usinikosee

Niko njaa kaa maskini

Vile amedunga mini

Shwarie mali safi kwa kiuno anampini

Tabia za mjini nampeleka down chini

Aliguza nini ikabaki ajaamini

Me hutumianga android tenje yangu inangasiri

Niko na mabundles unaeza tuma terries

Niite pocher vile niko na ngiri

Shwarie noisemaker shhh me ni piri

Vile ni mtamu imebakisha tu chillie

Party na machizi

Speed ni ya ferari

Kama amenchizi natuma tu ferare

Seti Juu mi stakataa, ukinieka kwa roho chunga

Juu unaeza pata heart attack

Mteja Wa nambari hapatikani pole samahan

Crazy coz we badder dan

You better hide your girlfriends. Eiy Nayo nayo

Alidai kuguza nini akapelekwa Choche

Ukikuja na chic atarudishwa akiwa nyonde

Tabia ni za kigheto hmm na luku za kibombe

Ukianza kunikunywa baby navunja kikombe

Ukikuja ukiwa freshi utatoka ukinuka shonde

Manzi yako ni mcheap skuizi ye hutekwa na pombe

Alidai kuguza nini akapelekwa choche

Ka hudai kung'oka meno medi tu mi usinikosee

Chizi vile anameza rungu na ana mh mh tighty

Kabla mechi dry gin alale kama maiti

Njwang'a apa inambao ismame ka lebo ya nikey

Mchezo bado raw kuiva ni sura na lightskin

Ni chafu unaoshwa ka umeanza tabia mbaya

Nadai kumcuff kumbe shawry ni malaya

Ety Zuner nakudai namuuliza tu walai

Kwanza apige 360 madesign apige 180 heh

You been a vibe lately, naeza dai mating

Ata Tubishani ukuwe unalamba ka ice cream

Mkono zigizani shingo inakatwa kivikins

Baeybe sipaki mate

Ikikwama paka colgate

Ngoja kwanza aah aah ee karibu itokee

Nianike kwa macho ukirudi uikose

Hakuna ajali ni ubonge na ubondwe

Pole jo si party kaa si psycho na machizi

Me hukuanga kochare na manzi yako hupenda tizi

Ye upendaga muhogo alitokanga kwa ndizi

Me hudunga kwa kichwa uezi sema haifiki

Seti Juu mi stakataa, ukinieka kwa roho chunga

Juu unaeza pata heart attack

Mteja Wa nambari hapatikani pole samahan

Crazy coz we badder dan

You better hide your girlfriends Eiy Nayo nayo

Alidai kuguza nini akapelekwa Choche

Ukikuja na chic atarudishwa akiwa nyonde

Tabia ni za kigheto hmm na luku za kibombe

Ukianza kunikunywa baby navunja kikombe

Ukikuja ukiwa freshi utatoka ukinuka shonde

Manzi yako ni mcheap skuizi ye hutekwa na pombe

Alidai kuguza nini akapelekwa choche

Ka hudai kung'oka meno medi tu mi usinikosee

Nko tipsy twenty four seven mavela matembe nko madib

Kiforeign kinanyonga kohoa thani n Tb

Nkiwa na thobe kamari lazima tucheze simbi

Spendi X na main area moja juu kua Vitimbi

Antaka mechi akifinywa nduru Ka Firimbi

Nahodtha hodari wajua sigopi Mawimbi

Alikuja kama bestie sai antaka kua Bibi

Navenye ntai dig itabaki ni kichimbi

Kasema I'm all over her body Kama skin

Venye namkunywa utadhani mini gene

Anapiga flash ngango utadhani lyn

Anajua siwezi choka kwa mechi me n Machine

Seti Juu mi stakataa, ukinieka kwa roho

Chunga juu unaeza pata heart attack

Mteja Wa nambari hapatikani pole samahan

Crazy coz we badder dan

You better hide your girlfriends Eiy Nayo nayo

Alidai kuguza nini akapelekwa Choche

Ukikuja na chic atarudishwa akiwa nyonde

Tabia ni za kigheto hmm na luku za kibombe

Ukianza kunikunywa baby navunja kikombe

Ukikuja ukiwa freshi utatoka ukinuka shonde

Manzi yako ni mcheap skuizi ye hutekwa na pombe

Alidai kuguza nini akapelekwa choche

Ka hudai kung'oka meno medi tu mi usinikosee

Altro da Josephyl/Wenda Wazimu

Guarda Tuttologo