menu-iconlogo
logo

Utu

logo
Lirik
Yooooo!

(Yogo on beat)

You're sweet like pipi mamaa

I can fight

I can kill someone

For you

Because am in danger zone (oh no)

This feeling feeling that am feeling

It's too much

I see future, life with you is so brighter

Nakupenda sana, you know that

I'll die for you

Ooh sweet heart, life with you is so sweeter

Nakupenda sana, you know that

Nakupenda sana, you know that

Yeah

Na hakuna kipya kwenye dunia

Oh my love

Na ndio maana tamaa nazizuia

Oh my love

Natupa maelfu kwa mamia

In this world

Ila we pekee nimekuchagua

I swear to God

Na umebarikiwa

Utu na utulivu

Umebarikiwa

Utu na utulivu

Licha ya upole na uzuri

Una utu na utulivu

Umebarikiwa

Utu na utulivu

Ohooo

Siku zote maumivu maumivu

Yapo kutufunza

Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza

Huko nyuma hukumu

Hukumu zilisha nikumba

Na mateso kung'ang'ania

Pendo usipopendwa

Niliforce kujificha kule kumbe

Chaka langu ni hapa

Sasa napewa amani

Mapenzi yasiyo na mipaka

Ananikanda huku mabegani

Ananishika na hapa

Masage mgongoni

Yananilevya makopa

Na hakuna kipya kwenye dunia

Oh my love

Na ndio maana tama nazizuia

Oh my love

Natupa maelfu kwa mamia

In this world

Ila we pekee nimekuchagua

I swear to God

Na umebarikiwa

Utu na utulivu

Umebarikiwa

Utu na utulivu

Licha ya upole na uzuri

Una utu na utulivu

Umebarikiwa

Utu na utulivu

Oooh

Aaaah

Namuona yeye

(Analia ninapougua)

Aaaah

Namuona yeye

(Akikesha ananiombea dua)

Aaaah

Namuona yeye

(Analia ninapougua)

Aaaah

Namuona yeye

(Akikesha ananiombea dua)