menu-iconlogo
huatong
huatong
bensoul-nairobi-cover-image

Nairobi

Bensoulhuatong
queenstephanie01huatong
Lirik
Rakaman
Heh? Hehehe

Hmm-haha, maajabu (woo!)

Suda!

Habari mbaya zimenifikia

Mandugu zangu wananikulia

Kumbe sahani yangu ni sinia

Na inaniuma sana

Yule mpenzi niliaminia

Nikamueka mbele ya dunia

I must be trippin' nikikurudia

Umenitesa sana

Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea

Akikuletea, ananiletea

Wanakula fare

Sote tuna-share

Ogopa sana

Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea

Akikuletea, ananiletea

Wanakula fare

Sote tuna-share

Ogopa sana, mama

Woi-yoo

Motherfuckers gon' kill me in this bitch, yeah, yeah

Marashi yako yalinivutia

Siku ya kwanza ulipopitia

Kumbe sii mi pekee nilinusia

Yolanda ya Lavender

Na mbogi yangu iliniambia (walini-show)

Eti nikusare but sikusikia (sikusikia)

I don' wanna do this shit no more, my dear

Najuta kupendana

Nairobi (woyo-yoyo)

Yule anakupea, pia ananipea

Akikuletea, ananiletea

Wanakula fare

Sote tuna-share

Ogopa sana

Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea

Akikuletea, ananiletea

Wanakula fare

Sote tuna-share

Ogopa sana, mama

Gonga (gonga) gonga like

Gonga (gonga) gonga like, yeah

Gonga (gonga) gonga like

Okonkwo (gonga)

Yo (gonga like, yeah)

Rieng? (Yeah) Radar?

Siku hizi madem ni blunder

Jana cuzo alimkaza

He's family, ah-ah

Get together kwa bed

Hio story tumekataa

Ma-boy wengine blunder

Watakukulia mama (weh)

Na wakuchekeshe sana

Madame madem, eh (hmm)

Madame wa siku hizi

Wana machali wengi

Nilichapa mmoja juzi

Ikaingia ndani, dive

Nairobi (woyo-yoyo)

Yule anakupea, pia ananipea (yule)

Akikuletea, ananiletea

Wanakula fare

Sote tuna-share

Ogopa sana

Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea

Akikuletea, ananiletea

Wanakula fare

Sote tuna-share

Ogopa sana, mama

Lebih Daripada Bensoul

Lihat semualogo