menu-iconlogo
huatong
huatong
nyashinski-utazoea-symphony-in-f-sharp-minor-cover-image

Utazoea (Symphony in F-Sharp Minor)

Nyashinskihuatong
sam9705huatong
Lirik
Rakaman
Maybe I'm too good to you

You take me so for granted

Open your eyes and see

You'll never find a better lover

Original black man kama ule wa Genesis

Na kama tu Genesis manyoka ndo bado ma-nemesis

So niko strapped ka friends wana benefits

Mm, na hewa ndo remedy, mm

Msoto ndo enemy, mi ndo kusema

Ni rap ama melody, bars unapewa ni ka uko na felony

I'm running this shit by, literally jogging my memory

Mi staki uniweke category

Ka ni must acha ikuwe ebony

Ka sina uwezo mi basi ni nani atieleta vile naileta

Hizi level ni heavenly

Hiyo negative energy, kaa nayo mbali ujionee

Capital city inameza washamba (huyo)

Wanapotea, mi nikishashika mikwanja (huyo)

Nawachorea, I'm big enough kuhitaji bouncer (huyo)

Anaromeo, na zikishashika ni blunder

But utazoea

Vako za ki-boss (utazoea)

Na kunikosa (utazoea)

Nasonga ki-source (utazoea)

Na juu ya chopper (utazoea)

Utaona ma-boss (utazoea)

Na utachoka (utazoea)

Yah, kuna ma-loss

Na utatokwa

Huku ma-gangster hutembea na escorts

Prado tatu zimeashwa mataa, saa hizo mi nashikwa juu ya madreadlocks

Na ufisadi ndio inahitaji effort

Uh, kuna tension, na Corona imemaliza pension

Tukipull up, ujue ni mateso, Babylon itakulwa na ghetto

Mi niko job

Naieleta tu roho vile inafaa kutoka

Unamaliza chuo ukingoja kusota

Ni wapi unajua degrees zinagurantee kupata job

Ni maybe ka unajuana

So kwa matembe na marijuana utapata vijana

Na hivo ndo kuko jo

Nairobi City inameza mapastor (huyo)

Wanapotea, mi nikishashika mikwanja (huyo)

Nawachorea, I'm big enough kuhitaji bouncer (huyo)

Anaromeo, na zikishashika ni blunder

But utazoea

Vako za ki-source (utazoea)

Na kunikosa (utazoea)

Nasonga ki-source (utazoea)

Na juu ya chopper (utazoea)

Vako za ki-boss (utazoea)

Na kunikosa (utazoea)

Nasonga ki-source (utazoea)

Na juu ya chopper

Nakuanga grown

Sikuskii ukiongea, niko zone

Hapo sling inashine kama chrome

Na kwa scene naingia ki-don

Ki-don, siko late

Show inaanza nikifika kwa gate

Napull up na gari 28

Orezo pekee ndo anarelate

Tu story si-exaggerate

Unashindwa kukataa

Unashindwa kukataa

Beat inabanja, streets natambua

Price inapanda, nakuanga grown

Number one ndo mahali na-belong

Niko hapo juu nimeasha vela ina-pong

Kabla u-puff ushajua tu ni strong

Na ni strong, saka form

Bank account iwache ku-underperform

At the top kunakuanga ku-lonely

Uko alone unaombwa tu loan

Baada ya loan (baada ya loan)

I'll do anything for you love, anything for my woman

Anything for your love, anything

I'll do anything for you love, anything for my woman

Anything for your love, anything

I'll do anything for you love, anything for my woman

Anything for your love, anything

I'll do anything for you love, anything for my woman

Anything for your love, anything for my woman

Anything for your love, anything for my woman

Anything for your love, anything

Lebih Daripada Nyashinski

Lihat semualogo