menu-iconlogo
huatong
huatong
ay-zigo-cover-image

Zigo

Ayhuatong
groovage1huatong
Letra
Gravações
Picha linaanza nshadata

Picha linaanza nshawaka

Picha linaanza nshachanganyikiwa

Picha linaanza nshadata

Ukweli mie amenikamata

Kwa jinsi navyomuangalia

Akinipatia nami sitamuacha

Kwa nyuma ananipa mineso

Moyoni ananipa mateso

Wa kishua ila matendo ya ghetto

Mtamu na hapendi vya dezo

Nakula kwa macho, 5 star girl si mchezo

Emu ona, emu ona

Ukweli mie amenikamata

Kwa jinsi navyomuangalia

Akinipatia nami sitamuacha

Aa aah ana rangi flani ya kimanga

Lugha lafudhi ya kitanga

Usiombe akapita na khanga (wu!)

Nyuma figusu majanga (wu!)

Ana mwendo wa kung'onya

Tena alivyoshona

Umbo k**a katuni wa kuchora

Aah Singida-Dodoma, kitandani Sodoma

Kiuno k**a nyuki, dondora

Maneno ya watu sumu yana hila

Wasije leta referee ka mpira

Chunga katu usije ukanzira

Nkashikwa na uchizi yaani utaila

(Rooh!)

Mtoto yani mukidi mukide

Mpaka ndani shigidi shigide

Hasa aki-lick D, lick De

Ye ndo mama Chibudi Chibude eh

Ukweli mie amenikamata

Kwa jinsi navyomuangalia

Akinipatia nami sitamuacha

Too se-too sex yeah man

Buzye-buzye ni amani

Mungu ameumba hapa, yeah man

Natamani nikaseme nae, yeah man

Naamini amezaliwa ili mimi niwe nae eh

Mpaka sasa nimechanganyikiwa

Akaja ye awe nami

Mutoto yani mukidi mukide

Mpaka ndani shigidi shigide

Hasa aki-lick D, lick De

Ye ndo mama Chibudi Chibude eh

Naamini amezaliwa ili mimi niwe nae

Mpaka sasa nimechanganyikiwa

Akaja ye awe nami

Iwe iwe iwe

Iwe iwe hii ndoto

Ni tamu mpaka utamu umepitiliza

Akikaa na wengine wanachukiza

Shika leka dige yeah man

Ngoja niongeze bidii yeah man

Ukute hili zali langu yeah man

Nikapige masinema nae yeah man

Sheaaa!

Yessaya!

Nakula kwa macho

Kwa macho

Nakula kwa macho

Kwa macho

Nakula kwa macho

Kwa macho

Ukweli mie amenikamata

Kwa jinsi navyomuangalia

Akinipatia nami sitamuacha

Mais de Ay

Ver todaslogo