menu-iconlogo
huatong
huatong
bahati-machozi-cover-image

Machozi

Bahatihuatong
nurialeblanchuatong
Letra
Gravações
Ooh Bahati Bahati tena

Maachozi machozi ii, machozi mamaye

Machozi skiza papaye

Vidonda vichungu na fikra ona

Vile niliumia

Machozi machungu nakuta mbona

Hakuna vile ningeficha

Vidonda vichungu na fikra ona

Vile niliumia

Machozi machungu nakuta mbona

Hakuna vile ningeficha

Maisha yangu ya usali,

Kasoro mali

Wapi wangu waniokoe,

Napoteza mzazi uchungu wa mwana,

Mbona mola uniondoe

Maisha yangu ya usali,

Kasoro mali

Wapi wangu waniokoe,

Napoteza mzazi uchungu wa mwana,

Mbona mola uniondoe

Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni,

Niliumia sana

Maskini kusema hawachoki kuchonga

Nililia msee iaa

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Maswali kwa mola,

Mbona mimi

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Mbona dunia uchungu

Mbona mimi

nilijawa machozi

mbona mimi

maswali kwa mola

mbona mimi

nilijawa machozi

mbona mimi

mbona dinia uchungu

Oooi oooi oooi oooi

Oooi oooi oooi oooi

Mziki nafanya napata gharama,

Kuwa inakera

Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,

Niliota kupenya

Mziki ilifanya sana napata gharama,

Kuwa inakera

Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,

Niliota kupenya

Ilikuwa uchungu madungu zangu,

Nilijawa naumia aai

Ilikuwa machozi sina hata pozi,

Ila tumbo inalia aai

Ilikuwa uchungu madungu zangu,

Nilijawa naumia aai

Ilikuwa machozi sina hata pozi,

Ila tumbo inalia aai

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Maswali kuwa mola,

Mbona mimi

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Mbona dunia uchungu,

Mbona mimi

niljawa machozi

mbona mimi

maswali kwa mola

mbona mimi

nilijawa mchozi

mbona mimi

mbona dinia uchungu

Oooi oooi oooi oooi

Oooi oooi oooi oooi

Naye ukaniweka chini,

Niende wapi mwenzio

Niliangaika kwenda mjini,

Mashambani hivo hivo

Naye ukaniweka chini,

Niende wapi mwenzio

Niliangaika kwenda mjini,

Mashambani hivo hivo

Ukawamu kunionyesha mapenzi,

Hapo siku ya kwanza

Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,

Ndio wewe ukaniacha

Ukawamu kunionyesha mapenzi,

Hapo siku ya kwanza

Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,

Ndio wewe ukaniacha

Nilikosa hata moyoni,

Niliumia sana

Maskini kusema hawachoki kuchonga,

Nililia msela

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Maswali kwa mola,

Mbona mimi

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Mbona dunia uchunga,

Mbona mimi

Nlijawa Machozi

Mbona mimi

Maswali kwa Mola

Mbona mimi

Nilijawa machozi,

Mbona mimi

Mbona dunia uchunga,

Mbona mimi

Mbona mimi

Si amini ni mimi leo

Mbona mimi

Maulana hayali

Mbona mimi

Si amini ni mimi

Mbona mimi

Rabuka hafungi sikio

Si amini ni mimi

Mbona mimi

Rabuka hafungi sikio

halali

machozi

Mais de Bahati

Ver todaslogo