menu-iconlogo
huatong
huatong
kidum-kibido-nitafanya-cover-image

Nitafanya

Kidum Kibidohuatong
nayanna05huatong
Letra
Gravações
Tutu turu tutu yeah

Tiru turu tuntu tu

Tuntu tuntu tuntu

Tun tiriri tin tiriri

Ikiwa umeamua kunitoroka

Ikiwa unahisi kwamba hujisikii nami tena

Na mbona imekuwa ngumu kunidokeza?

Naona ni bora nilie leo badala ya kesho

Kupenda usipendwe

Ni kama kujitia kitanzi

Nitachimba na sururu

Kwa ardhi nikitafuta penzi lako

Ni heri nipigwe fimbo kwa mwili

Sababu nitajikuna ama nitajikanda na maji moto

Maumivu ya penzi mtu hajikuni

Wala hajikandi na maji, na hakuna upasuaji

Kama kuna kosa nimewahi fanya (nieleze)

Kama kuna jinsi tunaweza leta (mpatanishi)

Na kama kuna kitendo ningeweza tenda (nieleze)

Nitafanya (fanya)

Nitatenda (tenda)

Nitafanya (fanya)

Nitatenda (tenda)

Nitafanya nasema (fanya)

Nitatenda (tenda)

Nitafanya (fanya)

Nitatenda (tenda)

Kweli hukumbuki uliyoyafanya?

Ni kweli unakumbuka tulipotoka?

Sisemi habari zozote za kusikia

Bali kwa ushahidi niliouona

Msamaha mara ngapi

Umeshaomba na bado?

Je, ni makosa mangapi

Niliyoyafumbia macho?

Mpaka leo nahisi kufika kikomo

Maumivu yanazidi ndani ya moyo

Sitaki kwenda mbali kwani upo moyoni

Nikusamehe mimi mara ngapi we?

Nieleze, mpenzi, mara ngapi?

Unataka nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)

Ungependa nikuvumilie mara ngapi? (bila mwisho)

Je, wewe, nikulilie mara ngapi? (vumilia)

Sitoweza (utaweza we)

Nimechoka (usichoke)

Nimeshindwa (usishindwe)

Naondoka (usiondoke mamy)

Sitoweza (tirindi ndindi...)

Nimechoka (mmh mmh mh usichoke)

Nimeshindwa (usishindwe)

Naondoka leo

Ukihesabu ni mara ngapi umenisamehe

Ni kama kuhesabu

Ni mara ngapi mtoto kaharibu nappy

Usichoke, usiondoke, usilie, niko hapa kukulinda

Kama kuna kosa nimewahi fanya (nieleze)

Kama kuna jinsi tunaweza leta (mpatanishi)

Na kama kuna kitendo ningeweza tenda (nieleze)

Nitafanya (fanya)

Nitatenda (tenda)

Ni do do do (fanya)

Nitafanya (tenda)

Nitafanya (fanya)

Nitatenda (tenda)

Nita-do I swear (fanya)

Nitafanya (tenda)

Unataka nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)

Ungependa nikuvumilie mara ngapi? (bila mwisho)

Je, wewe, nikulilie mara ngapi? (usilie) (univumilie)

Sitoweza (unaweza)

Nimechoka (usichoke)

Nimeshindwa (usishindwe)

Naondoka (uuh uuh uuh)

Sitoweza (usichoke njoo)

Nimechoka (pimpi parara pimpi)

Nimeshindwa (pampa para rara)

Naondoka leo (para rara pampara)

Usishindwe baby

Nita-do-do-do do-do-do do

Mais de Kidum Kibido

Ver todaslogo