Aanhuh
Trio
(Man a bad man ting)
Nina kakitu kwa mbosho nkutolee form?
Kuja na mavitu vidosho ma-corazon
Chocha chipo mwitu na portion ya choma pork
And then mi nitakuja na chumvi
Na nyongi ya juzi
Leo utatoa moshi ka trolley ya msee wa smokie
Nitacheza kama mimi
Alafu nkikupa through pass cheza kama Lewandowski
Ivo ndo si hucheza mjini
Trio cheza kama wewe
Cheza kama wewe
Cheza kama wewe
We bazu cheza kama wewe
Trio cheza kama wewe
Cheza kama wewe
Cheza kama wewe
We bazu cheza kama wewe
Trio nacheza kimimi
Mdhamini sipimi
Na ka unadai moshi utazivuta wakuite chimney
Limit ya fuliza imeongezeka nko machingli
Naeza shika jug na kanuthu uskie tifi
Nacheza kiroro, nacheza kiwingman
Naeza fika soko, nishike ki-G bag
Turirime mdagi meditation na ki-FIFA
Shuksha kibandaski chapo dondo inaeza jipa
Rada na madenge?
Vuta hizo matenje
Usichomange kamenje
Uskii niko mawenge
Unaeza nyonga sana mkono ianze kumea zigwembe
Manze kakiivana si napigana tu vijembe
Nkupeleka na mtrrrr, peleka na mtaratara
Usilete hapa machrrr, manguna vitu chwara chwara
Mi huteka maprrrr, mam'doko wankaa maprincess
Magala ni wapeng wanfaa kupostiwa kwa Pinterest (ai!)
Form?
Manze siuchoche sherehe
Leo tupige kelele
Raha unajipa mwenyewe
Si unichome uko na ndom?
Tukiwashe tupepee
Tukate maji leo tulewe
We bazu cheza kama wewe
Mejja cheza kama wewe!
(Okwonko)
Niko Calif nashikisha
Na mamorio tukichoma shisha
Kuna wale hushukisha
Wale madem hujifanyaga madiva
Ka huyu hapa anaringa
Na hizo lips, ni ka anapiga binja
Bad energy stay far away
Wale wamebaki tupige sherehe
Manze kaa rada ukiwa dunda usilewe
Mafisi wako ready, msupa anyemelewe
Ukiwa dunda ni ubebane
Ama ubebwe, ama ubebewe
Ukiwa dunda ni ucheke
Uchekeshane, ama uchekelewe
Yoh manze zimeriet
Nakwambia zimeshika
Nakuta nina shash
Nani ako na rizla?
Mi naskia kukiseti tukiskiza ma-sizzla
Leo watu ni walewe
Bazu niko na pesa mingi
Ule ni msee wa mayai
Muite umwambie agonge mbili
Ndio nijenge mwili
Nikiteka msupa
Nicheze ka mimi
Yoh, wacha nicheze ka mimi ucheze ka wewe
Tutafte ya mzinga manze jo tuchange
Tulewe, tulewe
Tulewe tulewe tubebwe!
Form?
Manze siuchoche sherehe
Leo tupige kelele
Raha unajipa mwenyewe
Na si unichome uko na ndom
Tukiwashe tupepee
Tukate maji leo tulewe
We bazu cheza kama wewe
Exray cheza kama wewe!
Naeza fanya ngeus atoke chini
Nyoka hutolewa na ulimi
Whisper excuse madam talk chini
Nikufikishie hio habari ya mjini, yoh
Nafika ndani ya bash na mamiwa
Kachumbari raru na dhania
Ukifika solo ka umeiva utavamiwa
Napendaga nyama na maziwa
Mom, mafuta ya ng'ombe si ya k'kamua
Naonanga wavulana wakinunua
Na wote wanasema wamegundua
Walilete monkey wakasema itatambua
Ah, cheza kama wewe yoh
Mi hucheza na mambwegze
Cheza juu ya genje
Sichezagi na hio rende
Mi hucheza na mangwete
Huskii we
(Bad man ting!)
Tunapendaga wote color ya Akothee
Na Zari, hatujali
Ndo watu wasinyonge, eh
Maji maji ka sauce ya mwitu
Chini ya maji ka blink ya mchinku
Alinona ju alishiba na ma p2
Piga waya ka pad ya ps2
Ebu mwambie kwanza aspell Teletubbies
Ama anajua tu smell ya Cannabis
French kiss mpaka tujipate Paris
Waganis, waganis si ni mayardis
Mi nina mafans mpaka bonde Marsabit
Na mapilot na iwake ndani ya cockpit
Mi si bigfish mi ni Sea-lion
Badmind Babylon Heart Zion
Supper supper haiwezi miss nyama (nyama)
Makaa makaa bekali si nyanya (nyanya)
Na Jamaica ni makoro si Corona
Na mambichwa naziseti kwa keroma
Na sijali ka unasema mi nachoma
Ju nachoma mpaka nifike Barcelona!