menu-iconlogo
huatong
huatong
เนื้อเพลง
บันทึก
Tumeona Wengi by Joefes ft. Mr Tee, Lil Maina, Fathermoh

Tumeona wengi wakianza wakichinjiana

Sai wamekosana wanapost wezi rudiana

Mtandao si friendly Wako live wakianikana

Sai Wanajifanya tunajua wanamissiana

Ati sasa hanipendi

Ati amecancel zile plan za wikendi

Vile ninawonder josh alipata kendy

Kijana sina kitu na anataka nishike fendy

Tuende photoshoot cbd alafu trending

Aaah aaah hii relation balaa

Anataka dollar na nimelala mala

Msichana stunner na nywele sijachana

Na sasa tumeachana juu jana nilichoma

Kwa live flani sikujua hapendi chali na majani

Na sikujua anapenda chali akiwa na gari

Na saa nimejua flag nyekundu ni hatari

Alinitoka na sikukua na habari

Tumeona wengi wakianza wakichinjiana

Sai wamekosana wanapost wezi rudiana

Mtandao si friendly Wako live wakianikana

Sai Wanajifanya tunajua wanamissiana

Si tuko live tunaanikana lakini pale kitandani tunatandikana

Cheki, ye ako physically fit Niko lyrically sweet

Buda niko Ill nilimuacha akiheal

Msupa amebeba mabidhaa

Buda tunachonga tunatema magidhaa

Mrembo amekuja analia ako isaaa

Msupa mi sina mi sipendi kuringa

Manzi ameiva ni wa Filipino

Tumbo ka inauma basi meza ino

Manzi ananyesha na si Elnino

Na buda tunazoza na maAlbino

Tumeona wengi wakianza wakichinjiana

Sai wamekosana wanapost wezi rudiana

Mtandao si friendly Wako live wakianikana

Sai Wanajifanya tunajua wanamissiana

Hata saa zile sidanganyi wasema mi nadanganya

Mschana mrembo lakini tabia mbaya

Nikisema nakuacha hakuna kitu mi nitafanya

Kwani ni mara ngapi utashinda umenikanya

Ati nahanya unanitukana kuchukua vitu ndo sasa twarudiana

Mara Tiana sijui Rihana unaskizaje na maskio zako ushazibana

Started with a friendly sai tuko bnb

Mambo yetu toxic I swear it's never ending

Sina hata plan B mambo yako crazy

Lakini narudi kwako kila saa kama mshenzi

Tumeona wengi wakianza wakichinjiana

Sai wamekosana wanapost wezi rudiana

Mtandao si friendly Wako live wakianikana

Sai Wanajifanya tunajua wanamissiana

Team gwedhe tunashinda na side mirror

Huku tunapimana upishi wa Chapo sio sura

Huku unapigishwa ndeng'a inatolewa na makucha

Huku mapoko hawasimami pongi unaipata kwa duka

Hii nyama imebaki tu mafuta design mbona nikiita

Ukikosa kuitika nasema niko

Tei imezidi sita niko madimba

Ni tumbo zinafurishwa

Hapa Furaha ni nipe nikupe

Tei itushike zishike

Napenda sistako usijam

Niko na wangu pia siste

Nipe nikupe

Tei itushike zishike

Tuko njiani jaba akitemewa cost ajipe

Tumeona wengi wakianza wakichinjiana

Sai wamekosana wanapost wezi rudiana

Mtandao si friendly Wako live wakianikana

Sai Wanajifanya tunajua wanamissiana

เพิ่มเติมจาก Joefes/Mr Tee/Fathermoh

ดูทั้งหมดlogo