menu-iconlogo
huatong
huatong
เนื้อเพลง
บันทึก
Sota Lyrics by REKLES

Sota Lyrics by REKLES

Ni funny unadhani unachapaa

Buda kusota si dhambi acha kukataa

Ni funny unadhani unachapaa

Buda kusota si dhambi acha kukataa

(Mavo on the beat)

Ati we ni sos ukitaka unabuy

Uongo sema walai

Chocha mbona unajam

Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali

We hushinda umehire gari

We hushinda nini na nani

Bro umesota na na unakataa

Gari ni ya sugarmummy

Keja aliomba Mwaniki

Looku aliomba jirani

Na kwa baze vile anajidai

Bazu bazu bazu

Hauna kakitu bazu wa uduu

IG chocha maisha ya juu

Caption Lamu with my boo

Lifestyle na madeni

Ni kuchotwa chotwa na benki

Wacha kupost ukichocha

Ati uko Lamu na vile umesota

Ati we ni sos ukitaka unabuy

Uongo sema walai

Chocha mbona unajam

Bro umesota na na unakataa

Ati yaani hunanga mali

We hushinda umehire gari

We hushinda nini na nani

Bro umesota na na unakataa

Cheki ati bro umesota na unakataa

Na ati pia umeokoka unaendanga church

Unadai una chopa na hauna hata bike

Mi adi sijui mbona ama uko mangwai

Hmmmh haa!

Ama jo ni jaba zimerunda

Na we husema unaishi Runda

Na we unapatikana daily stage ya Lunga

Ayayayaya mbona ulichochana umebuy ndae

Bado uko na deni hadi ya mayai

Ona mpaka Tala inakudai

Zidi kujigamba

Ati we ni sos ukitaka unabuy

Uongo sema walai

Chocha mbona unajam

Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali

We hushinda umehire gari

We hushinda nini na nani

Bro umesota na na unakataa

Ni funny unadhani unachapaa

Buda kusota si dhambi acha kukataa

Ni funny unadhani unachapaa

Buda kusota si dhambi acha kukataa

Hmmmh haa!

Ama jo ni jaba zimerunda

Na we husema unaishi Runda

Na we unapatikana daily stage ya Lunga

Ati we ni sos ukitaka unabuy

Uongo sema walai

Chocha mbona unajam

Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali

We hushinda umehire gari

We hushinda nini na nani

Bro umesota na na unakataa

(House of Badass)

เพิ่มเติมจาก rekles/Mejja

ดูทั้งหมดlogo

อาจถูกใจคุณ