menu-iconlogo
logo

Bounce (feat. Maua Sama and Tommy Flava)

logo
Şarkı Sözleri
Beautiful boy is that for sure

But baby girl is playing him like a toy

He′s been in my bed

Sunday to Monday, Monday to Sunday

Oyoyo, husinifanye mi ni poyoyo

Lengo lako girl

Niachane naye nenda zako hukoo

I want you to know, usije ukaniliza girl

Hisia zako zitakukandamiza no

Girl you should know mi sio type yako

Hisia zako peleka kwako

Bounce alone, bounce alone

Only me can turn him on

Bounce alone, bounce alone

Tukiwaga wawili (na ye)

Nampa burudani (yeye)

Hakuna kuniacha mi (kamwe)

Yeyeyeyeye

Tukiwaga wawili (na ye)

Nampa burudani (yeye)

Hawezi kuniacha mi (kamwe)

Yeyeyeyeye

Vee Money baby, tell me my boo

Maumivu sawa kwangu katu

Njoo nikukabidhi moyo wangu

Nisije weka sinde kwa babu

Maua Sama umenidaka wavu

Sifurukuti sifui dafu

Ongeza vitamini nitoke sharp

Ili wajue the way I love, the way I

Mmm mami iyooo

I want you to know usije ukaniliza girl

Hisia zako zitakukandamiza no

Girl you should know mi sio type yako

Ushauri wako peleka kwako

Bounce alone, bounce alone

Only me can turn him on

Bounce alone, bounce alone

(Don't call me ever again)

Tukiwaga wawili (na ye)

Nampa burudani (yeye)

Hakuna kuniacha mi (kamwe)

Yeyeyeyeye

Tukiwaga wawili (na ye)

Nampa burudani (yeye)

Hawezi kuniacha mi (kamwe)

Yeyeyeyeye

Tell me boy, unitumie tumie kwako niwe kifaa

Tell him don′t bother, hao vilaza

Wenyewe kusudi nikuache we

You gonna let him know

When you do me like this

Napatwa na goosebumps

Oh yeah, tamu lako penzi

Kwako wanapita njia hey

When you do me like this

Napata na goosebumps

Oh yeah, tamu lake penzi

Kwako wanapita njia yeyeyea

Bounce alone, bounce alone

Only me can turn him on

Bounce alone, bounce alone

Tukiwaga wawili (na ye)

Nampa burudani (yeye)

Hakuna kuniacha mi (kamwe)

Yeyeyeyeye

Tukiwaga wawili (na ye)

Nampa burudani (yeye)

Hawezi kuniacha mi (kamwe)

Yeyeyeyeye oooh

M-A-U-A Sama

Mmm Vee Money on the track