menu-iconlogo
huatong
huatong
avatar

Bembeleza

Marlawhuatong
motoaaron930huatong
بول
ریکارڈنگز
Nipesa simu nibembeleze

Hey Hey hello Ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui bembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Kila time nakuangalia usoni ma

Sio kamaa nakosa neno kusema

Ulivyo ma anafanya kosa kunena

Ingawa moyo hautaki kunena tena

Wazo kichwani lina beep (kukueleza)

Ila vibaya ukinijibu (bembeleza)

Nahisi sijui bembeleza

Utakataa halafu mi utaniumizaa

Kidesign nakuangalia usoni ma

Kuna sign za kuita huko machoni ma

Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma

Unachotaka nianze mikusema

Hapa unafanya nijione (nitashinda)

Hapa unafanya nitamke (nakupenda)

Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni

We Dada mi unaniumiza

We dada sijamaliza

Mbona unakata simu

Please usikate ma

Hey hey hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)

Kitu ambacho moyoni siridhikii

Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki

Inajionyesha machoni unaafiki

Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)

Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)

Oooh aaah, aaah

Kwenye party ulikuja umependeza

Kwenye traini ukaniomba mi kucheza

Tukadance na macho umelegeza

Ulinibamba nikaficha kukueleza

Unanimaliza

Mimi ninakweleza

Minakupembeleza

Baby please baby girl

Vile unatamka

Wewe kuona nataka

Tuonge ana kwa ana

Baby please baby girl

We Dada mi unaniumiza

We dada sijamaliza

Mbona unakata simu

Please usikate ma

Hey hey hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma

Laiti ungekuwa unaniona

Vile kila time nakonda nawaza

Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza

Au mi sijui kubembeleza

Usinikatae utaniumiza

Nakupenda kukutenda sitoweza

Hooow (hooow)

Sasa kama (kama)

Umenielewa mbona

Unachelewa sana

Nambie nije, nije sasa hivi

Umenielewa mbona

Unachelewa sana

Nambie nije, nije sasa hivi

Marlaw کے مزید گانے

تمام دیکھیںlogo

یہ بھی پسند آسکتا ہے

Bembeleza بذریعہ Marlaw - بول اور کور