menu-iconlogo
huatong
huatong
mbuzi-gang-mtama-cover-image

Mtama

Mbuzi Ganghuatong
mikebrienhuatong
بول
ریکارڈنگز
Endeleza ni kama

Unadai nisitoke ni kam na

Nim tamtam lugha mkamba

We mshamba ushamwaga, mtama

Mtama ushamwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Huyu dwanzi ni kama ashamwaga mtama

Hakuna ka comeback

Alichoma offe aliendaga na sandak

Maziwa sawa ye hupenda propaganda

Huwezi simamisha na unakuja na standard

Ukuje mbaya nakuteka unaenda under stand

Ukiwa maji na uko high siwezi panda

Sira za nini nikiride unatarmac

Tangu lini mbuzi mimi nikawa na tamaa

Baraka tele kutoka Mungu na muthama

Sijairuka vitu me huchapa tu masamaa

Yule boyz alikwama

Endeleza ni kama

Unadai nisitoke ni kam na

Nim tamtam lugha mkamba

We mshamba ushamwaga, mtama

Mtama ushamwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Ya wenyewe ni tamu hadi ukakwama

Pesa ya sadaka usishikishe handas

Hapa ka si mbuzi uyo ni rapper ndama

Ulituma fare na shawry bado akatarmac

Alipata duba si alidai more supper

Bro huna tv buh unamore drama

Me na shawry goals ah more sala

Fat boy gwaash b***h ni bad manners

Mbuzi gang first class kila beat gangbang

Mr Nun non stop

Fathermoh gangastars

Sahi me ni father mmmh

Na ukinimess me ni karma

Endeleza ni kama

Unadai nisitoke ni kam na

Nim tamtam lugha mkamba

We mshamba ushamwaga, mtama

Mtama ushamwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Ati Fathermoh ni dancer

Hujaijua ujinga pia ni cancer

Nyonga na mikono mbili basi hiyo ni handsome

Sperm bank nimezijaza kwa banker

Ni tanker lakini yi hukuwanga pastor

Pastor lakini yi huvuta ganja

Ni more star ye hukata ka amejipanga

Kwa bukla sijaitoka bila number

Ni monster ye hukunywanga na wababa

Shakes pia mepagawa na super strikas

Me hata ikilipishwa unasmash up ati umechoka kunywa maji

Alafu unaeza fanya niniiii

Endeleza ni kama

Unadai nisitoke ni kam na

Nim tamtam lugha mkamba

We mshamba ushamwaga, mtama

Mtama ushamwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Na usha mwaga mtama, mtama

Mbuzi Gang کے مزید گانے

تمام دیکھیںlogo