menu-iconlogo
huatong
huatong
bensoul-kibaki-atabaki-cover-image

Kibaki Atabaki

Bensoulhuatong
normaasugdenhuatong
歌詞
作品
Mmmh

Nabaki Kibaki Yeah Aah

Tumeona wangapi

Wanacome wanazidi

So many promises

Wengi mafisi

Kuna wananchi na wenye nchi

Kuko wenye haki Kibaki atabaki Ahh

Kibaki atabaki yeah mzee wa kazi yeah

Mzee wa kazi yeah

Kibaki atabaki yeah mhh

Nilisomeanga public huko mashinani

We came from nothing

Mama was always hustling

Free education was my redemption

Sikujua kesho but now we run the nation yeah

Standing ovation kwa baba obako

Alikua example Alikua mhumble

Alifanya mambo we Jokes kando

Alikuanga Rambo Pa Pa Pa Pa

Tumeona wangapi

Wanacome wanazidi

So many promises

But wengi mafisi

Kuna wananchi na wenye nchi

But kwa wenye haki Kibaki atabaki Ahh

Kibaki atabaki yeah

mzee wa kazi yeah

Kibaki atabaki yeah ahh

Mzee wa kazi yeah

Give me my flowers

When Im alive

Washa hiyo dawa

We will survive

更多Bensoul熱歌

查看全部logo

猜你喜歡