menu-iconlogo
logo

Nani

logo
歌詞
Mmmh yeah

Mmmh

Yeah, (Moko)

Asubuhi kumekucha

Wingu limetanda

Na mvua yata kunyesha

Na uko mbali Mama

Maji takitirika

Ooh baridi itanishika

We ndo chanda chema

Uhakika unanitatisha tamaa

Utaambiwa binadamu

Ah kila mmoja ana mapungufu yake

Sijui nilipoteleza Mama

Si ungenambia

Nime miss tabasamu

Kutwa kucha

Picha kumezea mate

Yangu fimbo umeibezea

Ah katu hautaki kuitumia

Labda hesabu za kutoa

Mi niligawanya baby unisamehe

Na ile hasi nikaifanya chanya

Baby unisamehe

Na hata emoji za kulia

Nazo kutumia nazo zikome

Japo nipate furaha

Ah huruma unionee

Maana hii hali, hata haifichiki

Kutwa wima kwa mpingo, kisiki

Maana hata nikiona michezo ya njiwa

Ah hua naitamani

Kama si wewe

Nitampenda nani?

Nitampenda nani?

Nitampenda nani

Nani nitampenda

Nitampenda nani?

Nitampenda nani?

Nitampenda nani

Nani nitampenda, aah

(Uuh)

Eeh penzi usifanye kwa chombo cha usafiri

Ikawa umeshuka uje utanikatili

Nitakuwaga mental, niko dhahari

Si unasikia

Penzi la dhati daima la wawili

We fanya urudi lisiwe batili

Ka wafanya kusudi ni ukatili

Mi naumia

We ndo yangu hifadhi

Labda nilikosea msimbo

Kweli kupenda kazi

Wangu umegeuka fimbo o

Mi ndo lako koroboi

Lile lisilozima

Aah si ulisemaga hauchomoi

Kumbe imani unanipima aah

Pia ulisema haudonoi

Wameiteka mazima

Ahaa simun'gunyi, sikohoi

Sina vyangu nimechina

Maana hii hali hata haifichiki

Kutwa wima cha mpingo, kisiki

Maana hata nikiona michezo ya njiwa

Ah hua naitamani

Kama si wewe

Nitampenda nani?

Nitampenda nani?

Nitampenda nani

Nani nitampenda

Nitampenda nani?

Nitampenda nani?

Nitampenda nani

Nani nitampenda, aah

Nani Ibraah - 歌詞和翻唱