menu-iconlogo
logo

Unanionea

logo
歌詞
Hivi kweli yupo

Mwenye roho mbaya kukushinda

Maana mi sijaona Duniani

Hivi kweli yupo

Aso na haya kukushinda

Maana mie sijaona sijaona

We mtu gani uko radhi mwenzako ateketee

Wakati unajua dawa yake

Ni kumponya, nihurumie

Ama mtu gani aliefika akaongeza makeke

Na wakati anajua mi kwako ndo napona,

We nihurumie

Mi najua mapenzi

Sio kwichi kwichi tu

Yanayonogaga mazoea Nimekuzoea mmmh

Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito

Unanionea, unanipiga mie

Unanionea, unafanya niamini mapenzi mabaya

Unanionea, lalalaa mmmmh

Na kama kuachana nakubali

Sawa fanya yako

Ila sio lazima unionyeshe uniumize

Au kisa unajua

Unaniacha bado nakuhitaji

Ndo unaona bora unikomeshe Unilize eeeh

Ah poa poa,

Nishajua vya utamu Vinakuwaga vya uchungu

Ili doa doa milima haikutani

Japo najua mapenzi

Sio kwichi kwichi tu

Yanayonogaga mazoea

Nimekuzoea mmmh

Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito

Unanionea, unanipiga mie

Unanionea, unafanya niamini mapenzi mabaya

Unanionea, lalalaa

Unanionea, unanionea bure

Hata Bonga anajua unanionea

Chino anajua, unanionea

Unanionea Marioo - 歌詞和翻唱