huatong
huatong
الكلمات
التسجيلات
Wenye walisema hatuendi mbali Hapa ni wapi

Hapa ni wapi

Mwalimu wa Math ulisema siwezi enda mbali

Aiii Papii Yeah, Odi wa Murang'a

Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar Mzinga ni ngapiii

Mzinga kadhaa Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar Mzinga ni ngapiii Mzinga kadhaa

Hapa mahali imefika

Bado inazama mto

Mtoto wa mode wa mao ah

Nachora saba vi

Viboko ulitupiga

Zinamrambaa ah

Akina Kevo wanamkulia shamba finger

Licking knees finger

Licking sweet finger

Licking chuom me na ua ua

Dem yako hukuita hunny mi kwake maua

Ulikuja nini kwa sahani ni jaba najua

Ati soft cart skin na yangu haivai bra

Na yangu hukua job kulshinda mode wa math

Inang'aa inachafuka inang'aa da da

Na ni long kushinda ticki ya manzi wa Kibra

Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar! Mzinga ni ngapiii

Mzinga kadhaa

Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali hapa ni wapi

Kwa Bar

Mzinga ni ngap

Mzinga kadhaa

Odi wa Murang'a

Sikuizi me ukule kile nadai walai teacher

Sikuizi me hushindaga ndani ya ndai nkizunguka

Sikuizi adi landi uniitianga fom namzungusha

Sikuizi adi nikichomanga kindom siezi ficha

Niko so so ahead of my time

Huwezi nieka bro zone unanipotezeanga time

Size ya Mr. Mburu, ye hutext kila time

Sikupenda mao juu ya kufloat kila time

Is a lie is a lie is a lie walai teacher

Am fine am fine am fine sikuteseka

Is a lie is a lie is a lie walai teacher

Am fine am fine am fine sikuteseka

Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar! Mzinga ni ngapiii

Mzinga kadhaa Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar

Mzinga ni ngapiii

Mzinga kadhaa

Hii hema hii hema

Dem akona big denda big denda

Acha niwape cinema cinema

Saa tano mchana na bado mimi sijatema

Cheki, penye tumetoka huwezi guess ni wapi but

Penye tumefika unaeza tell ni wapi Kwa Bar!

Mzinga zinadedi ka ni ajali

Skiza Neo kwanza venye anabonga kilami Nonsense

Mode nilimpata kama amezima

Kapoteza macho akadhani hakuna stima

Sikuizi zabe kazi ni kuririma

Kuamka kungara na kuchoma liver

Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar! Mzinga ni ngapiii

Mzinga kadhaa Mode wa Mao Yeah yeah

Alisema hatuendi mbaali, hapa ni wapi

Kwa Bar

Mzinga ni ngapiii

Mzinga kadhaa

المزيد من Odi Wa Muranga/Fathermoh/Harry Craze

عرض الجميعlogo