menu-iconlogo
logo

Mapepe

logo
avatar
Juxlogo
sandrapmh1968logo
Sing in App
Lyrics
S2kizy baby

Labda uliza moyo wangu

Ndo umenifanya mi nifike mapema

Mama uliza moyo wangu

Unavonitesa imenibidi kusema eeeh

Zamani

Toka zamani mama

Kuwa na ndoto siku moja ukae nyumbani

Usikatishe penzi ghafla ndo Kwanzaa penzi letu linago tu

Kama shida wote tumepata Sasa unachokitaka unakipa boo!

Usilikatishe penzi letu maana kwanza linago tu

Unachokitaka unakipata Sasa!

Aaaaaah mapepe ya nini?(Pepe)

Mapepe ya nini?(Pepe)

Mapepe ya nini?

Nishatulizana nawe punguza mapepe

Aaaaaah mapepe yanini?(Pepe)

Mapepe ya nini?(Pepe)

Mapepe ya nini?

Nishatulizana nawe punguza mapepe

...!

Mama serebu

Africa mama serebu

Mziki una matter shebeduka napenda ile vidole uking′ata macho juu

Mmmmh

Yako thamani ni zaidi ya dhahabu

Nafanya hisani usije pata tabu

Zamani

Toka zamani mama

Kuwa na ndoto siku moja ukae nyumbani

Usikatishe penzi ghafla ndo Kwanzaa penzi letu linago tu

Kama shida wote tumepata Sasa unachokitaka unakipa boo!

Usilikatishe penzi letu maana kwanza linago tu

Unachokitaka unakipata Sasa!

Aaaaaah mapepe ya nini?(Pepe)

Mapepe ya nini?(Pepe)

Mapepe ya nini?

Nishatulizana nawe punguza mapepe

Aaaaaah mapepe yanini?(Pepe)

Mapepe ya nini?(Pepe)

Mapepe ya nini?

Nishatulizana nawe punguza mapepe

Acha iendee

Acha iendee

Punguza mapepe

Mapepe by Jux - Lyrics & Covers