menu-iconlogo
logo

Sawa

logo
Lyrics
Mbona kama chama pinzani

Kila siku matatizo

Inaniathiri ndani kwa ndani (aaah)

Naikosa chanjo (oooh)

Acha visa na sononeko la moyo

Usingizi sipati

Kisa kwako sina maamuzi

Mdomo koma

Umenipa upofu wa moyo

Jicho la nazi mama

Kwako sioni

Nimeshika makali mpini wewe

Nasema sawa sawa (eeeh)

Unikate vipande vipande

Mama sawa sawa (uuuuuh)

Huishiwi kisirani

Yani kila muda umenuna

Sasa mimi ntaongea na nani (aah)

I wish ungejua inavyouma

Yani bora nilewe

Usingizi sipati

Kisa kwako sina maamuzi

Mdomo koma

Umenipa upofu wa moyo

Jicho la nazi mama

Kwako sioni (eeiyee)

Nimeshika makali mpini wewe

Nasema sawa sawa (sawa sawa eeeh)

Unikate vipande vipande (oh)

Mama sawa sawa (sawa sawa uuh)

Nimeshika makali mpini wewe (eeeiyeee)

Nasema sawa sawa (sawa sawa eeeh)

Unikate vipande vipande

Mama sawa sawa (uuuuuh)

Sawa by Jux - Lyrics & Covers