menu-iconlogo
logo

Zaidi

logo
avatar
Juxlogo
pamelajfirebaugh32logo
Sing in App
Lyrics
Its bob manecky

Na na na na

Na na na na

Na na na na

Na na na na

Zinanitoka goosbamze

Nikisikia jina lako

Mimi naweukaa

Kabisa me ni chizi wako

Na kama ni mganga eee

Mzuri uyo mganga wako

Sio kwa kunipumbaza uku

Bby mmhh

Mamy ongeza ubuyu

Nizidi kuumumunya eee

Tena na sukari guru

Utamu nikitafuna eee

Baby ongeza ubuyu

Nizidi kuumumunya eee

Tena na sukari guru

Utamu nikitafuna eee (mhmh)

Kama ni pili pili maa (na na na na)

Acha ukali niusikie (na na na na)

Kama nivita mama (na na na na)

Acha adui wanivamie (na na na na)

Kama we ni asali maa (na na na na)

Acha na nyuki wanivamie (na na na na)

Lakini penzi lako bby (na na na na)

Ata kidogo lisipungue (na na na na)

No no nooooo

Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh)

Nipe nipe

Zaidi zaidi (mhmhh)

Wewe zaidi zaidiii

Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)

Haya yaya yaaah yaaah...

Haya yaya haya yaya yaaaah...

Nanyosha mikoni juu

Kwako me nimesarenda

Naona maajabu

Sungura kazidiwa ujanja

Nimekuwa zuzu zuzu zuuu

Nimekuwa bubu bubu buuu

Nimekuwa mbumbu mbuu bby

Nimekuwa zaidi ya nyumbu

Sioni sisikiii... (aaah)

Sioni sisikiii... (aaah)

Kama ni pili pili maa (na na na na)

Acha ukali niusikie (na na na na)

Kama nivita mama (na na na na)

Acha adui wanivamie (na na na na)

Kama we ni asali maa (na na na na)

Acha na nyuki wanivamie (na na na na)

Lakini penzi lako bby (na na na na)

Ata kidogo lisipungue (na na na na)

No no nooooo

Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh)

Nipe nipe

Zaidi zaidi (mhmhh)

Wewe zaidi zaidiii

Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)

Mamy ongeza ubuyu

Nizidi kuumumunya eee

Tena na sukari guru

Utamu nikitafuna eee

Baby ongeza ubuyu

Nizidi kuumumunya eeee

Tena na sukari guru

Utamu nikitafuna eeee

Mhmhmh

Zaidi by Jux - Lyrics & Covers