menu-iconlogo
logo

Chi Bonge

logo
Lyrics
Kama kupenda maradhi

Niko hoi taabani

Na Kama kutangaza nakupenda Kosa nifungwe

Kama kupenda upofu

Me sioni me sisikii

Ndo maana natangaza nakupendaa

We mwisho wangu mie

Sichepuki ma Kona kona

Au upo na niugue

Ukifika napona pona

Na rangi yako black me nakuona white

We kifupi nyundo nakuonaga munahgaa

Na nakuona Motoo mwepesi mmh aah

Japo Chi Chi Chibonge

Ah Chi Chi Chi Chibonge

Chi Chi Chibonge

Ah Chi Chi Chi Chibonge

Ah Minyama tu

Akipita Minyama He

Anatingisha Minyama tu

Vile akipita Minyama (Hee)

Ah Minyama tu

Akipita Minyama He

Anatingisha Minyama tu

Vile akipita Minyama

Hee

Minyama

Stone boy

Shepu ya mabonde mabonde

Nimeridhia

Ntakumiliki usikonde

Hataa nkifulia

Oooh Bebi unashow za ng'ombe mbuzi wanakimbia

Nauosha hu mwogo wa jang'ombe Leta sufuria

Baby usijipe stressi

We kibonge mwepesi

Wa ruka mpaka sarakasi

Samba Kareti unajua

Hips kiuno shangaa una macheni macheni (Baby you like Donosso)

Mdomo lips nyembamba kiuno chako feni (Girl i gotta make you know so)

Chi Chi Chibonge

Ah Chi Chi Chi Chibonge

Chi Chi Chibonge

Ah Chi Chi Chi Chibonge

Chibonge

Ah Chi Chi Chi

Chibonge

Chi Chi Chibonge

Ah Chi Chi Chi Chibonge

Ah Minyama tu

Akipita Minyama He

Anatingisha Minyama tu

Vile akipita Minyama

Hee

Minyama

Mwenzako me napendaga vibaya

Baya Baya

Mwenzako me naugonjwa wa moyo

Moyo moyo

Mwenzako me napendaga vibaya (Baby you like Donosso)

Mwenzako me naugonjwa wa moyo (Girl i gotta make you know so)

Abaa aba aba aba

Chi Bonge by Marioo - Lyrics & Covers