menu-iconlogo
logo

Nisamehe

logo
歌詞
Kukuhini kusokwisha umeangukia pemani

Roho yanidadarika kashanitoka sheitwani

Nimeumbiwa makosa mwanadamu na mimi

Moyo umekunja ndita nimekumiss jamani

Ngumu safari ilifanya njiani ushukie

Ukakosa siti miliki gari lako mwenyewe

Nikajiveka mashati nikajiona me ndo mie

Kweli mbaya halisi nawema hakosi ye

Nisamehe

Nisamehe

Nisamehe

Nisamehe

Chozi dibwi dibwi nachanganikiwa

navilio sishikiki

Niko magharibi lizamapo

jua wewe upo mashariki

Zawadi vipochi vijuice

vipipi nazimiss chocolate

Nimekoma dear nilivyo

nyongea hubba zako sizipati

Tabibu kunikomesha

umepata toto la kitanga

Sababu umeichoka jeuri yangu ya kipemba

Lile gubu limeniisha kabisa

baby halimanga (aibu)

Wananicheka wajinga rudi nakuomba

Ngumu safari ilifanya njiani ushukie

Ukakosa siti miliki gari lako mwenyewe

Nikajiveka mashati nikajiona me ndo mie

Kweli mbaya halisi na wema hakosi ye

Nisamehe

Nisamehe

Nisamehe

Nisamehe

Nikikaa nawaza nimuingie kwa style gani?

Nimlilie niseme nnamimba

kasahau t shirt nyumbani

Nashindwa kujizuia uvumilivu

unanishinda kwanini

Nikimpigia kusudi zake akipokea

eti hellow wewe nani (iiih)

Na namba kakupa nani (iiih)

Mara aahh kumbe wewe unafanya

issue gani (siku hiziii)

Nimsanii anajua inamana

hanioni (kwenye Tv)

Aah ai wewe

Aah ai wewe