menu-iconlogo
logo

Lolo

logo
লিরিক্স
Kwahiyo ndo unadhani labda ningelia

Ulivyoniacha au labda ningeshindwa kula

Au labda unadhani ningekunywa sumu

Ulivyoniacha au labda ningeshindwa kulala

Kwanza lihusiano lenyewe lilipooza

Auna jipya style mpya umedoda

Maajabu hauna ndani pumzi kisoda

Nijinyonge kisa we unawazimu umerogwa

Aiiy ndo maana usiulizwe why uliachwa

Haujui kulamba lolo Haujui kulamba lolo

Usiulize kwanini uliachwa haujui kulamba lolo

Haujui kulamba lolo

Kwanza alafu hata haiyumi, Mbona hainikereketi

Mbona hata hichomi, Mbona hainipwiti pwiti

Alafu hata haiyiumi, Mbona hainikereketi

Mbona hata hichomi, Mbona hainipwiti pwiti

Aaaah eeeh eh! Hayaaa!

Uzuri wako wa filter unakudanganya

Umeniacha juzi jana nimepata bwana

Tena mtu mwenye hela alafu tunaendana

Tushakula viapo mi nae atuwezi achana

Ona kwanza kila siku unataka mchezo

Kwani huchoki kenge wewe

Na ukinyimwa tu unanuna paka upewe

Kibonge mayai upigi msamba paka ulewe

Ety haunipendi hainihusu utajuwa mwenyewe

Aiiy ndo maana usiulizwe why uliachwa

Haujui kulamba lolo, Haujui kulamba lolo

Usiulize kwanini uliachwa, Haujui kulamba lolo

Aaaah! Mbona lolo

Kwanza alafu hata haiyumi, Mbona hainikereketi

Mbona hata hichomi, Mbona hainipwiti pwiti

Alafu hata haiyiumi, Mbona hainikereketi

Mbona hata hichomi, Mbona hainipwiti pwiti

Aaaah eeeh eh! Wekaa!

Wanangu tuwarudishe shuleni

Masela shuleni

Tuwarudishe shuleni aah JM

Twende mkanda mkende mkindi mkondo

(Utakufa vibaya wewe) Maaama!

Kwanza mpamba mpembe mpimbi (Uongo)