menu-iconlogo
logo

Mtasubiri (feat. Zuchu)

logo
Letras
Eeh nini sasa

Eti amina dua zimeitikiwa

Ashtuti nije kupa mali yako

Ooh fanya hima mwenzako nimezidiwa

Mahututi nasubiri tiba yako

Na nisipo kuona na raha nakosa

Situlii mpaka unikumbate darling

Ooh kiranga chote mi koma ukianza dear

Shughuri kwisha yangu habari

Eti unanipenda mi mnmhn

Unanitaka pia mnmhn

Unaniamini mnmhn

Na umeniridhia

Ooh unanipenda mimi mnmhn

Unanitaka pia mnmhn

Unaniamini mnmhn

Na umeniridhia

Mnaosubiri tuachane

Mtasubiri sana mtasubi

Ooh mtangoja

Mtasubiri sana mtasubi

Wanaosubiri tuachane

Mtasubiri sana mtasubi

Vuteni kiti mkae

Mtasubiri sana mtasubi

Ooh baby mi mwenzako njiwa wa kufugwa

Ooh baby vya chakuchaku vitanifuja

Ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja

Ooh baby penzi laini sitoi buja

Na moyo nimeshaweka kwako nanga

Wanajisumbua kukesha kwa waganga

Mbona bado na presha zitawashuka na kupanda

Tena deka we shaukwa baby tamba

Eti unanipenda mi mnmhn

Unanitaka pia mnmhn

Unaniamini mnmhn

Nakuniridhia mnmhn

Ooh unanipenda mimi mnmhn

Unanitaka pia mnmhn

Unaniamini mnmhn

Na umeniridhia

Manaosubiri tuachane

Mtasubiri sana mtasubi

Ooh mtakesha

Mtasubiri sana mtasubi

Mtandike jamvi mukae

Mtasubiri sana mtasubi

Mtatungoja sana

Mtasubiri sana mtasubi

Wanasema eti umeniroga

Nikweli ila inawahusu nini

Hunipendi unanichuna

Nikweli ila inawahusu nini

Eti anasema wewe ni kicheche

Nikweli ila inawahusu nini

Utanichezea kesho uniache

Nikweli ila inawahusu nini