menu-iconlogo
logo

Ntampata Wapi

logo
Letras
Sura yake mtaratibu

Mwenye macho ya aibu

Kumsahau najaribu

Ila namkumbuka sana

Umbo lake makhbibu

Kwenye maradhi alionitibu

Siri yangu kaharibu

Bado namkumbuka sana

Alionifanya silali (eh)

jua kali (eh)

Nitafute tukale

Lakini hata hakunjali,

darling

Akatekwa na wale

Alionifanya silali (eh)

jua kali (eh)

Nitafute tukale

Ila wala hakunjali

Darling, aka-aah

Ntampata wapi,

kama yule?

Niliyempendaga sana

Ntampata wapi,

kama yule?

Nae anipende sana

Ntampata wapi,

kama yule?

Niliyempendaga sana

Ntampata wapi,

kama yule?

Nae anipende sana

Aii-aii, nyota

Nyota ndo tatizo langu

Aii, nyota

Mpaka nalia pekee yangu

Aii, nyota

Nyota ndio shida yangu

Nyota

Wamenizidi wenzangu

Alidanganywa na wale (wale)

Wenye pesa nyumba gari (gari)

Mi kapuku hakunijali (jali)

Akanikimbia

Alidanganywa na wale (wale)

Wenye pesa nyumba gari (gari)

Mi ungaunga hakunijali (jali)

Akanikimbia

Alionifanya silali (eh)

jua kali (eh)

Nitafute tukale

Lakini hata hakujali, darling

Akatekwa na wale (halo)

Alionifanya silali (eh)

jua kali (eh)

Nitafute tukale

Ila wala hakunjali

Darling, akaa-aah

Ntampata wapi? (Oh wapi?)

Kama yule

Niliyempendaga sana

Ntampata wapi

kama yule (oh sana)

Nae anipende sana

Ntampata wapi,

kama yule? (penda sana)

Niliyempendaga sana (nampenda sana)

Ntampata wapi

kama yule (oh sana)

Nae anipende sana

Bado ananijia ndotoni (bado)

Ila nikiamka simwoni (bado)

Bado ananijia nikilala (bado)

Haki ya Mungu sio masiala

Bado ananijia ndotoni (bado)

Ila nikiamka simwoni (bado)

Bado anijia nikilala (bado)

Haki ya Mungu sio masiala

Yo touch clever (bado)

Hii ni sauti ya raisi (bado)

Iliomshindaga ibilisi (bado)

Kwa mwanadamu sio rahisi, aha

Kamwambie

Lazma ujue kutofautisha

Kati ya msalaba na jumuilisha

Kuna X na kuzidisha

Ni cheche (cheche)

Bado ananijia nkilala

Haki ya Mungu sio masiala