menu-iconlogo
logo

Naanzaje

logo
Letras
Aliumba ardhi akaumba mbingu

Akaumba mbaramwezi

Kaumba nafsi, kaumba wivu

Akayaumba na mapenzi

Na kukuacha sidhani, siwezi jaribu

Maana penzi kwa mzani, umenizidi mahabibu

Shika vyema usukani, twende taratibu

Baada ya tuta baby koleza gear

Yaani tam tam kama pipi

Nakuita sweet, ah lote lote

Fundi kwenye kwichikwichi

Shape vipi? Kama lote

Vicheche nisha delete

Sitaki cheat, wa toke toke

Kwenye moyo nimekupa seat

We ndo dereva, so kukuacha oh

Naanzaje? (Ooh mimi)

Naanzaje? (Aah mimi hapa)

Naanzaje? Mwenzako kukuacha siwezi

Naanzaje? (Ooh mimi)

Naanzaje? (Aah mi jamani)

Kukuacha oh, kabisa siwezi

Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea

Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea

Vishenshuda poleni woo, mnalo wambeya

Mtaja kuumwa makwashakoo, kwa kutuongelea

Tena me kwake ndo daktari, nampa tiba halali

Wanaitaga sukari, alamba haa!

Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali

Tuepushe madhohari, ya wanadamu

Ah ah, we mtam tam kama pipi

Nakuita sweet, ah lote lote

Fundi kwenye kwichikwichi

Shape vipi? Kama lote

Vicheche nisha delete

Sitaki cheat, wa toke toke

Kwenye moyo nimekupa seat

We ndo dereva, so kukuacha woo woo

Naanzaje? (Ooh mimi)

Naanzaje? (Aah mimi hapa)

Naanzaje? Mwenzako kukuacha siwezi

Naanzaje? (Ooh mimi)

Naanzaje? (Aah mi jamani)

Kukuacha oh, kabisa siwezi

Na kukuacha sidhani

Siwezi jaribu

Maana penzi kwa mzani

Umenizidi mahabibu